Saturday 3 February 2018

AUDIO, PHOTO & VIDEO PRODUCTION: MUONEKANO WA MF STUDIO - TABORA

AUDIO, PHOTO & VIDEO PRODUCTION: MUONEKANO WA MF STUDIO - TABORA: Kwa wakazi wa Tabora na mikoa jirani, ni habari njema kwenu kwa uwepo wa studio mpya ya kisasa yenye vifaa vyenye ubora wa hali ya juu ili k...

MUONEKANO WA MF STUDIO - TABORA

Kwa wakazi wa Tabora na mikoa jirani, ni habari njema kwenu kwa uwepo wa studio mpya ya kisasa yenye vifaa vyenye ubora wa hali ya juu ili kukupa ubora wa kazi yako.

Hivyo basi hukuna haja kusafiri kwenda mbali ili kupata huduma ya kurekodi audio na video kwa huduma hii imefika karibu yako.

Studio ina wafanyakazi wenye ujuzi na uzoefu katika kazi na rafiki kwa wateja.

MF studio iko Ipuli karibu kabisa na shule ya St. Francis.






Thursday 1 February 2018

Uandaaji wa makala, vipindi vya redio na telesheni

Kwa wadau wote wa vyombo vya habari.
Ni wakati umefika sasa wa vyombo vyetu vya habari kurusha vipindi vya redio na televisheni kwa zaidi ya asilimia 60.

Kwa wamiliki wa redio na televisheni stesheni karibuni RAV Media ili muweze kujipatia vipindi vitakavyojaza nafasi ambazo zilikuwa hazipata vipindi husika.

Tunatamani kuwa waandaaji na wazalishaji wa vipindi vya kutosha hapa Tanzania.

Karibuni sana.

Friday 26 January 2018

UZINDUZI WA MSF - MAGANGA FAMILY STUDIO

Kesho tarehe 27/01/2018 kutakuwa na uzinduzi wa studio, ijulikanayo kama Maganga Family Studio. Studio iko eneo la Ipuli Mkoa wa Tabora.

Karibuni Saana.

Thursday 16 July 2015

CCM WASOMA NYAKATI

Chama Cha Mapinduzi CCM kilijikuta ndani ya wakati mgumu kaatika kuchagua mtu atakayeipeperusha bendera ya Chama hicho kwa ajili ya kuwa mgombea uraisi mwaka huu. Kutokana na kusoma nyakati CCM iliona vema kumvisha Mh. John Magufuli dhamana hiyo.
Kikubwa Watanzania wenzangu ni kumwombea ili wote wenye hila mbaya na yeye mambo yao yasifanikiwe.

Saturday 29 March 2014

MUNGU NI MKUU

Namshukuru Mungu kwa uweza wake mkuu, mtoto wangu Elisha aliugua mpaka kulazwa Hospitali, ila sasa yuko vizuri na mzima wa afya.
Kwa kweli namtukuza Mungu kwa uweza wake.

Wednesday 19 March 2014

Day Three: Last day

Generally the training was good.
I had a problem with my blog that took almost that whole first and second training. With the help of the facilitaotr, the UDCC IT and my fellow trainees I managed to work again with my new blog.
I like the way our facilitator help the trainees to understand different things that were not clear practically.

It seems the time given to the whole training was very short, three day are not enough. We could even take more time in this training because our facilitator sometime was rushing due to shortage time.
My expectation was fulfilled, but left with eager to know more in investigative internet journalism.

A big challenge of the last day was power cut and the power backup was not working therefore we had to start doing or loading our blogs.

AUDIO, PHOTO & VIDEO PRODUCTION: MUONEKANO WA MF STUDIO - TABORA

AUDIO, PHOTO & VIDEO PRODUCTION: MUONEKANO WA MF STUDIO - TABORA : Kwa wakazi wa Tabora na mikoa jirani, ni habari njema kwenu kwa uwepo...