Thursday 1 February 2018

Uandaaji wa makala, vipindi vya redio na telesheni

Kwa wadau wote wa vyombo vya habari.
Ni wakati umefika sasa wa vyombo vyetu vya habari kurusha vipindi vya redio na televisheni kwa zaidi ya asilimia 60.

Kwa wamiliki wa redio na televisheni stesheni karibuni RAV Media ili muweze kujipatia vipindi vitakavyojaza nafasi ambazo zilikuwa hazipata vipindi husika.

Tunatamani kuwa waandaaji na wazalishaji wa vipindi vya kutosha hapa Tanzania.

Karibuni sana.

No comments:

Post a Comment

AUDIO, PHOTO & VIDEO PRODUCTION: MUONEKANO WA MF STUDIO - TABORA

AUDIO, PHOTO & VIDEO PRODUCTION: MUONEKANO WA MF STUDIO - TABORA : Kwa wakazi wa Tabora na mikoa jirani, ni habari njema kwenu kwa uwepo...